Pichani ni AY
msanii kutoka Tanzania pamoja na Beatrice Gachagwi yeye nini TV
Producer/Director/Presenter kutoka NTV Kenya pamoja na 2Face from
Nigeria.
Kesho tarehe 25 ndio ile
show kali ambayo itafanyika pande za Nairobi jukwanii tukiwakilishwa na
AY na kutoka pande za Congo ni Papaa Wemba na pande za Nigeria
itawakilishwa na 2Face. Show hiyo itapigwa viwanja vya Nyau Nairobi
Kenya.
No comments:
Post a Comment